watanashati

watanashati

tengeneza website

tengeneza website

Tuesday, November 18, 2014

SHAQS ATIMIZA AHADI YAKE YA JEZI KWA WATANASHATI

Jezi za Timu ya mpira wa miguu ya Watanashati FC


 Picha mbili tofauti zikimuonyesha mmoja wa wanachama wa kundi la Watanashati anayejulikana kwa jina la Shakoor Jongo a.k.a Shaqs akiwa ameshikiliaa jezi hizo muda mchache kabla hajazikabidhi

TAZAMA VIDEO CLIP YA HARUSI FEKI: LULU NA JOTI

Kupitia mtando wa INSTAGRAM, Elizabeth Michael aka Lulu ameshare nasi hii video ya harusi yake na muigizaji mwenzaje JOTI......Kisha kuandika maneno haya " Ushawahi kuona Harusi ina wadhamini wewe.....hahahahahha Nwei...Special Thanks To.... 1. GLAMBOX walisimamia Make-up ya Bibi harusi 2. @kionne_bridal_boutique for the beautiful dress n accessories 3. @weddingbellstanzania lol...walisimamia SUIT ya bwana harusi 4. ESCAPE 1-VENUE 5.CYN HENJEWELE - DECORATION Lastly na nyie mlioudhuria pale ITV Jumamosi...."
 plate by SoraTemplates and - singaporenewlaunches
src=" http://www.facebook.com/ /plugins/like.php?href= www.facebook.com/Bongo Voice&layout=button_count&show_faces=false&width=50&action=like&colorscheme=light&height=21" scrolling="no"frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden; width:45px; left:-19px; height:21px; z-index: 0; position: relative;" allowTransparency="true">
Trust Rating
Not Yet Rated
bongovoice.blogspot.com
Close

Sunday, November 9, 2014

Amigolas, Muimbaji Wa Bendi Ya Twanga Pepeta Afariki Dunia

Muimbaji maarufu wa bendi ya Twanga Pepeta, Amigolas amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili ya 09/11/2014. Mauti imemkuta Amigolas akiwa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es salaam akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.

MCHEZAJI BORA WA MWEZI "SURE BOY" AKABIIDHIWA ZAWADI YAKE‏

 
Kaimu Katibu Mtendaji wa Bodi ya Ligi Syephen Mguto (kulia) akimkabidhi tuzo Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Oktoba,Abubakar Salum "Sure Boy" katika sherehe iliyofanyika kwenye uwanja wa Azam, Chamazi jijini Dar esSalaam jana.

HII NDIO BARABARA ILIYOKARABATIWA KWA MILIONI 90 UKONGA MAZIZINI- MOSHI BAR

 
Hii ndio ile barabara ya Ukonga Mazizini- Moshi Bar ambayo inadaiwa kugharimu kiasi cha shilingi Milioni 90 kuikarabati kwa kiwango cha changarawe kwa umbali wa kilometa tatu. Picha hizi ni madimbwi ya mwanzo
tu ya hizo kilometa tatu. 

Meya Jerry Silaa wa Ilala ambaye ni Diwani wa Gongo la Mboto alipotembelea aliwaambia wananchi kuwa fedha za ujenzi huo ni kutoka mfuko wao.

MAKINDA KUONGOZA UJUMBE WA BUNGE LA SADC KUMZIKA RAIS SATA LUSAKA, ZAMBIA



Rais wa Bunge la SADC na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda.
Na Owen Mwandumbya, Lusaka Zambia
Rais wa Bunge la SADC ambaye pia ndiye Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Anne Makinda kesho tarehe 10 Novemba, 2014 ataongoza ujumbe wa Bunge la SADC kushiriki Misa Maalum ya kuombea mwili wa aliyekuwa Rais wa Zambia marehemu Michael Chilufya Sata katika misa maalum itakayofanyika katika viwanja vya Makumbusho Mjini Lusaka, Zambia.