watanashati

watanashati

tengeneza website

tengeneza website

Sunday, November 9, 2014

Amigolas, Muimbaji Wa Bendi Ya Twanga Pepeta Afariki Dunia

Muimbaji maarufu wa bendi ya Twanga Pepeta, Amigolas amefariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili ya 09/11/2014. Mauti imemkuta Amigolas akiwa amelazwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es salaam akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Amigolas alikuwa na Twanga Peteta toka mwaka 1995. Aligundua anamatatizo ya moyo mwaka jana.
Mungu awatia familia yake nguvu wakati huu mgumu kwao na ailaze roho yake mahali pema peponi. Amen.

No comments:

Post a Comment