watanashati

watanashati

tengeneza website

tengeneza website

Wednesday, November 19, 2014

HAKUNA NCHI INAYOWEZA KUSIMAMA PEKE YAKE-BAN KI MOON


Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa,  Ban Ki Moon, akizungumza na wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Mkutano wa Nne wa Dunia wa Maspika wa Mabunge, wajumbe wa kamati hiyo akiwamo Mhe, Spika Anne Makinda ( Mb) walikutana kwa siku mbili  hapa Umoja wa Mataifa
Pamoja na  kuzungumza na Katibu Mkuu,maspika wanaounda kamati ya maandalizi walipata fursa
pia
ya kubadilishana mawazo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Jan  Eliasson
Spika wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda ( Mb) akisalimia na Katibu Mkuu, Ban Ki Moon
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa  Bw. Jan Eliasson akisalimiana na  Mhe. Anne Makinda ( Mb) Spika wa Bunge  Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Spika  Anne Makinda ( Mb) akibadilishana mawazo na  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dr. Theo-Ben Gurirab
Pamoja jukumu kubwa la  mkutano wa  kamati ya maandalizi, Mhe. Spika alipata nafasi ya  kufika  katika Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa ambapo alipokelewa na Naibu  Mwakilishi wa Kudumu  Balozi, RamadhaniMwinyi. Hapa Mhe. Spika  akisaini kitabu cha wageni na pembeni yake ni Balozi Ramadhan Mwinyi na  aliyeketi ni Bw. Eliufoo Ukhotya kutoka Ofisi ya Spika.

No comments:

Post a Comment