watanashati

watanashati

tengeneza website

tengeneza website

Wednesday, November 19, 2014

MBUNGE WA KIBAHA AWAPA KIWANJA WATANASHATI WA MJINI

Wasanii wa filamu Dokta Cheni na Chiki Mchoma, wakila sahani moja ya futari na watoto yatima.

Mshereheshaji maarufu Bongo, Zipompapompa, akipata futari na Watanashati wa Mujini wenzake
Mbunge wa Kibaha Mheshimiwa Slyvester Koka, akiongea jambo wakati akiwapatia zawadi ya kiwanja wasanii wanaounda Group la Watanashati wa mjini kupitia mtandao wa kijamii wa Whats app unaopatikana katika simu za mikononi za Smart Phone.
Dokta Cheni akikabidhi keki kwa mmoja wa watoto yatima waliohudhuria kwenye futari hiyo katika ukumbi wa Trip S Kibaha.
Msanii wa filamu Bongo, Michael Sangu akijitambulisha kwa watoto yatima.
Baadhi ya watoto yatima wakipata futari.
Mmoja wa wanachama  wanaounda kundi hilo akigawa futari.
 Mtangazaji wa TBC 1, Chacha Maginga ambaye alikuwa katibu wa kundi hili kabla hajajihudhuru akiongea jambo kwa niaba ya Watanashati wa Mjini.
Mlezi wa Group hilo Mama Cynthia Henjewele (kushoto), akila futari na mke wa Mbunge Belina Koka kwenye hafla hiyo.

MBUNGE wa jimbo la Kibaha Mheshimiwa Slyvester Koka, usiku wa kuamkia leo alitoa shavu kwa wanachama  wanaounda kundi la Watanashati wa Mjini kwa kuwapatia Ofa ya kiwanja watakachojengea jengo la kulelea watoto yatima Kibaha mjini.
Wanachama  wanaounda kundi hilo ni Adel Alex, Michael Sangu, Said Mdoe, Lizzy Baby, Berna Piere, Jodete Dominic, Mc Zipompapompa, Dotnata Posh, Nelly, Enock Bwigane, Noordin, Munirah, Dudith Fraancis, Montana, na wengine tu.
Akizungumza kwa niaba ya Watanashati, aliyekuwa katibu wa kundi hilo Chacha alisema kuwa kundi lina zaidi ya watu 70, na nia kubwa yao ni nikuhakikisha wanasaidiana  na

pia kuwekeza katika kutatua matitizo madogo madogo ya watoto yatima.





PICHA/HABARI: SHAKOOR JONGO

No comments:

Post a Comment